Thursday, August 15, 2013

VURUGU MISRI: CAIRO KIMYA BAADA YA VIFO



Mji mkuu wa Misri Cairo umeripotiwa kuwa kimya, baada ya operesheni ya kinyama dhidi ya waandamanaji wanaomuunga mkono rais aliyepinduliwa Mohammed Morsi kupelekea vifo vya mamia ya raia. Mauaji hayo yamezua shutuma kutoka jamii ya kimataifa.
Zaidi ya watu 278 waliuwawa wakati maafisa wa usalama waliposhambulia kambi mbili za wafuasi wa Bwana Morsi. Kambi hizo zilianzishwa mwezi uliopita kupinga hatua ya jeshi kumng'oa rais huyo anayezingatia itikadi za kiislamu.
Hali ya hatari imetangazwa na amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kutolewa katika miji mikuu ya Misri.

Kirstie Trup has secured a place to study history at Bristol University weeks after horrific attack




Nokia reportedly plans a 5.2in phablet and 10in Windows RT slate


FINNISH PHONE MAKER Nokia reportedly plans to launch a 5.2in phablet device and a 10in Windows RT tablet this year.
Chinese news website Dopsy managed to get its hands on a promotional picture of the device, tipped to launch as the Nokia Lumia 825, which unlike the big screen Lumia 625 will be a high-end device.

If this leak is the real deal, the Nokia Lumia 825 will have a quad-core 1.2GHz Qualcomm Snapdragon 400 processor along with a 5.2in display. Unfortunately, despite its size, this won't be the first HD 1080p Windows Phone device, with the handset instead featuring a 1280x720 resolution screen.
That's pretty much all we know about Nokia's upcoming Windows Phone 'phablet' device so far, with its announcement reportedly set for October.


Wednesday, August 14, 2013

Meza YA Magazeti LEO JUMATANO




RAIS AFUNGUA MKUTANO MKUU



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua Mkutano wa mwaka wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki,(EAMJA) ulioanza leo katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort nje ya Mji wa Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] 
M.M


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) pamoja na Majaji wa Nchi za Afrika Mashariki, wakisimama wakati wimbo wa Taifa wa Nchi hizo ukipigwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa mwaka kwa Nchi hizo,ambao utakchukua siku tatu katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Hotel,iliyopo nje ya Mji wa Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Rais Kikwete akutana na Vijana waliacha kutumia madawa ya Kulevya Ikulu




Sunday, August 11, 2013

Dar blind primary school faces shortage of teaching materials


The only pre-primary school for blind children at the Uhuru Mchanganyiko primary school in Dar es Salaam faces shortage of classrooms, teaching equipment and aids needed for the development of children.

Speaking to this paper yesterday in Dar es Salaam Emeramu Mtega, a special education teacher at the school, said the unique pre-primary school in the country, with only eleven children from various regions has only one classroom.

It was supposed to have three classrooms according to the teaching system for the disabled.

Mtega explained that normally it is recommended that one classroom should accommodate only five children. Therefore, the children at Uhuru Mchanganyiko, need at least three classrooms. “A single teacher is supposed to teach only five children at a go,” he said.


Tuesday, August 6, 2013

Baraza la jiji lamuomba radhi Mandela


mandela 26798

Maafisa wakuu mjini Johannesburg, wamemuomba radhi Nelson Mandela kwa kumtumia kimakosa hati ya kudai malipo pamoja na onyo kuwa huenda akakatiwa huduma ya maji na stima kwa kuchelewa kulipia huduma hizo. (HM)

Walisema kuwa onyo hilo linalomtaka Mandela alipe dola 660 la sivyo akatiwe huduma hizo ilipaswa kutumwa kwa mtu mwingine wala sio Mandela. 
Maafisa wa baraza la jiji wamekuwa wakipokea malalamiko mengi kutoka kwa wakaazi kuhusu hati za madai ya malipo ya huduma wanazopokea kutoka kwa baraza la jiji.
Mandela amekuwa hospitalini tangu tarehe 8 mwezi Juni akitibiwa homa ya mapafu.
"baraza la jiji lingependa kuomba radhi familia ya Mandela kwa kwa athari zozote zilizotokana na jambo hili,''
Notisi ya baraza la jiji ilitishia kukomesha huduma hizo na hata kuchukua hatua za kisheria ikiwa deni hilo la siku 30 halingelipwa.
Hata hivyo, msemaji wa baraza hilo Kgamanyane Maphologela alielezea kuwa anwani na nambari ya akaunti ya kulipia zilikuwa za mteja mwingine ambaye ni jirani wa Mandela.
Vile vile nambari ya barabara na jina la mteja zilikuwa sawa , ila mteja anaishi katika sehemu tofauti.
Bwana Maphologela alisema kuwa hatua zitachukuliwa dhidi ya wale waliofanya kosa hilo.
Familia ya Mandela, ambayo makaazi yake yako katika mtaa wa kifahari wa Houghton, daima hutembelewa na watu wenye nia ya kuiafriji familia ya Mandela, kumtakia afya njema rais huyo wa zamani.
Mwezi jana makao makuu ya chama cha kitaifa cha ANC, inasemekana kilipokea kimakosa hati za kudaiwa randi milioni 3.5.
Mandela ambaye ni rais wa kwanza wa Afrika Kusini kuchaguliwa kidemokrasia, anatazamiwa na wengi kama baba wa taifa.
Aidha Mandela alifungwa jela kwa miaka 27 baada ya kuanzisha harakati dhidi ya uliokuwa utawala wa kibaguzi. Chanzo: bbcswahili

meza ya magazeti leo jumatano



DSC 0001 31969
DSC 0002 5a1a2
DSC 0003 4cdd2
DSC 0004 68b7f
DSC 0005 c1d9a

DSC 0006 5dbc0
DSC 0007 4a835
DSC 0008 52afd
DSC 0009 fc63c
DSC 0010 0337f
DSC 0011 c242b
DSC 0012 8f5fa
DSC 0013 dfd05
DSC 0014 768a5
DSC 0015 0729f
DSC 0016 be130

Kenya’s main airport, JKIA on fire


K1 03646



K2 c552c


K3 1a99f

NAIROBI, Kenya Aug 7 – Operations were grounded at Kenya's main airport, JKIA on Wednesday following a major fire that broke out at dawn, authorities said, adding flights were being diverted to other airports."There is a serious fire at JKIA, but we are doing everything possible to avert a crisis," Interior and Coordination of National Government Principal Secretary Mutea Iringo said.
His office also posted on twitter "A serious fire at JKIA kindly take caution."
Fire fighters were battling the inferno.
Witnesses said they had seen a huge smoke billowing from the international arrivals and departure areas, but there were no immediate reports of casualties.

BBM for Android to arrive on Samsung App Store soon



Samsung has announced that BBM for Android will soon makes its way to the Samsung App Store

BlackBerry is yet to announce the BBM for Android officially, however, Samsung seems to be keen in launching the messaging app.
A few days back, we saw the beta version of BBM for Android leaked on a smartphone, hinting that the app is in its final stages of testing.
A press release issued on Monday confirms that the Android version of the BlackBerry messaging app will be available to all Samsung Galaxy smartphones for download on both Google Play as well as Samsung App Store.
The app will be available to all the Galaxy phones across Africa. As of now, there is no further information about the global availability of the same.
Of course, the features of BBM will remain the same as we have seen in the leaks. It will include one-to-one chat, group chats and BBM groups. Further, this app has the ability to share images and voice notes to the contacts on BBM.
From the earlier rumors, we expect the BBM for Android to arrive as a free service. With that being said, we hope Samsung will be pushing the messaging app to other regions.
At this point of time, there is no word on when the BBM for iOS will appear, but one thing which is certain is that the Android version is in testing and hence, it could arrive sooner than later.

Tanzania, Kenya congratulate President Mugabe




Tanzanian President, Dr Jakaya Kikwete has a sent congratulatory message to President Robert Mugabe on his resounding victory in the just-ended harmonised elections.

In a statement, Dr Kikwete, who is also the chairman of the SADC Organ on Politics, Defence and Security (Troika), said under President Mugabe’s leadership, Zimbabwe has recorded tremendous socio-economic developments despite some challenges.

He said he is looking forward to greater progress and prosperity for the people of Zimbabwe as well as President Mugabe’s continued invaluable contribution to the region and the continent through SADC and the African Union.

Dr Kikwete emphasised the need for strengthening the cordial relations that exist between the two countries by further exploring more opportunities of co-operation.

After Tanzania, it was Kenya, which followed suit in congratulating Cde Mugabe.

In a statement, Kenya’s President, Uhuru Kenyatta hailed the good relations between his country and Zimbabwe, saying he looks forward to deepening historical ties between the two countries.

Mr Kenyatta's message follows another congratulatory message from South African President, Jacob Zuma.

In a statement, President Zuma described Wednesday’s elections as successful and called for peace among the people of Zimbabwe.

He urged all political parties in Zimbabwe to accept the outcome of the polls, saying observers reported it to be an expression of the will of the people.

President Mugabe was declared winner of the election after garnering 61 percent of the votes cast.
SOURCE:ZBC NEWS

Monday, August 5, 2013

Mgombea alitumia Ziwa Nyasa kujipigia debe Malawi


banda e1188
Mgombea Urais wa Democratic Progressive Party (DPP) nchini Malawi, Peter Mutharika, amesema hakuna sababu za kufanya majadiliano kuhusu Ziwa Malawi ambalo Tanzania wanaliita Ziwa Nyasa. (HM)
Mutharika, ambaye ni mwanasheria, aliyasema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika juzi  Mkoa wa Kati.
Akikaririwa na gazeti la  Nyasa Times, Mutharika  alisema Tanzania haina cha kuambulia kwa Ziwa Malawi.
Kiongozi huyo ambaye hakuwapo katika mkutano wa Rais Joyce Banda na wapinzani kuzungumzia mustakabali wa ziwa, aliwahakikishia Wamalawi kuwa wasiwe na wasiwasi wa mvutano huo.
Mutharika ziwa lote ni mali ya Malawi na  akisisitiza kuwa, Tanzania haina hata punje ya eneo.
 “Hakuhitajiki majadiliano, Ziwa Malawi ni mali ya Malawi, litakuwa la Malawi,” alisema Mutharika ambaye alichukua masomo ya Sheria Tanzania.
 “Tanzania inatumia nafasi ya udhaifu wa uongozi wetu, lakini ukweli, hawana hata tone la eneo... Tutakapoitwa kwenye uchaguzi ujao mwakani, tutamaliza haya yote. Nitaleta meli nyingi kwa ajili ya maendeleo ya uchumi, kutengeneza ajira za kutosha kwa vijana,” alisema Mutharika huku akishangiliwa na wafuasi wake.
 Tanzania inataka kugawana ziwa, lakini Malawi imegomea mpango huo na suala hilo liko katika majadiliano ambayo Banda alisema kama mwafaka haukupatikana ifikapo Septemba 30, Malawi itapeleka suala hilo Mahakama ya Kimataifa (ICJ).
 Chanzo: mjengwa blog.

magazeti leo jumanne


DSC 6297 a9f0b
DSC 6298 c66d3
DSC 6299 58747
DSC 6300 c6e12
DSC 6301 64fc5

DSC 6302 81b79
DSC 6303 477a3
DSC 6304 a9bdc
DSC 6305 8a710
DSC 6306 d305b
DSC 6307 1ad86
DSC 6308 1a83a
DSC 6309 6a11d
DSC 6310 d943b
DSC 6311 79056
DSC 6312 9c778
DSC 6313 e2cfb
DSC 6314 50c5a
DSC 6315 a55dd