Wednesday, July 31, 2013

Magazeti ya leo


DSC 0051 066d6
DSC 0052 9dfcf
DSC 0053 d67ac
DSC 0054 12534
DSC 0055 53035

DSC 0056 f3adb
DSC 0057 c659c
DSC 0058 d7477
DSC 0059 8effa
DSC 0060 68863
DSC 0061 8d9da

AIRTEL TANZANIA YAFUTURISHA BAADHI YA WATEJA WAKE


 Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kushoto) akimkaribisha Ofisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wao jijini
Dar es Salaam jana.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa pili kushoto) akiwakaribisha baadhi  ya wateja wao katika hafla ya futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
 Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.
 Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.
 Mhariri Mtendaji Mkuu wa Mwananchi Communications, Bakari Machumu (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Kolaso (kulia kwake) wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wake jijini Dar es Salaam juzi.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Azam, Said Salim Bakhresa (wa pili kushoto),  akichukua mlo wa futari pamoja na baadhi ya wateja wa Airtel katika hafla iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa wateja wake
jijini Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania wakifuturu katika hafla iiliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.

Taswira Maalum Kutoka IKULU:Taswira Mbalimbali Za Rais Jakaya Kikwete Akimpokea Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana kwa ziara rasmi ya siku tatu


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
 Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  akikagua gwaride maalum la heshima lililoandaliwa kwaajili yake mara baada ya kuwasili nchini
  Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra na Mwenyeji wake rais Jakaya Kikwete wakikagua ngoma.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
 Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  akisalimiana na baadhi ya raia wa Thailkand wanaoishi nchini alipowasili katika hoteli ya Kilimanjaro Regency Hyatt jijini Dar es salaam jana Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuonesha mandhari ya bandari ya salama Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  alipowasili jijini Dar es salaam jana Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiingia Ikulu nwa mgeni wake  Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  alipowasili jana  Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo rasmi na Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  alipowasili na ujumbe wake jijini Dar es salaam jana Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo rasmi na Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra  alipowasili na ujumbe wake jijini Dar es salaam jana Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.Picha na IKULU
SOURCE:Haki ngowi  blog

Dondoo: Push ups ni moja ya mazoezi bora kwa Afya yako.


pushup-kwa-afya-yako



Katika dunia ya leo, wengi wetu tumekuwa tukifanya kazi kwa muda mwingi, hata kutufanya tukose muda wa kufanya mazoezi. Siku hizi, wengi wa wafanyakazi wamekuwa kwenye magari, ofisini kwenye kiti kurudi tena kwenye gari na kulala, hivyo hukosa hata muda wa kupasha / kunyoosha viungo.
Katika dondoo ya leo, tutakufahamisha moja ya mazoezi yenye matokeo mazuri kwa viungo vya binadamu tena bila ya kutumia kifaa chochote. Na hii si nyingine bali ni Push up. Push up ni moja ya mazoezi yanayojenga afya njema kwani push up zinasaidia kuimarisha kifua, mabega misuli ya mikono.
Jinsi ya kufanya push up: Uso wako ukiwa unatizama chini, weka mikono yako kwenye sakafu, itanue izidi kidogo mabega yako (kama inavyoonekana kwenye picha). Hakikisha vidole vyako vya miguu vipo sakafuni, kama hii ni ngumu, basi unaweza kuanza kwa kuweka magoti yako chini. Hakikisha mwili wako umenyooka kuanzia vidoleni hani kichwani. Kunja mabega yako mpaka uwe kama unagusa sakafu. Rudi juu kwa kujinyanyua kwa kutumia mabega, hakikisha mwili wako umenyooka mwanzo hadi mwisho. Fanya hivi mara kadhaa ukiwa unaongeza idadi siku hadi siku.
Hauna haja ya Gym, hauna haja ya kununua kifa chochote, unaweza kufanya zoezi hili hata ukiwa ofisini. Na hii ndio dondoo ya leo.

Zimbabweans vote amid heavy security

Zimbabweans vote amid heavy security - Africa - Al Jazeera English

Somali men found guilty of piracy in Kenya

Nine men accused of hijacking German vessel in Gulf of Aden in 2009, will serve five years in jail.


Kenyan court in the coastal city of Mombasa sentenced nine Somalis to five years in prison each for attempting to hijack the German merchant vessel MV Courier in the Gulf of Aden in March 2009.
The men were arrested by international anti-piracy forces before being handed over to Kenya to be prosecuted, as Somalia was not considered able to try them properly.
Although the number of attacks has fallen markedly since 2011 thanks to tougher security aboard ships and increased Western naval patrols, piracy emanating from the Horn of Africa nation may still cost the world economy about $18bn a year, the World Bank said in April.
Prosecutors told the court on Tuesday the men attacked the ship armed with a rocket launcher, an AK-47 rifle, a pistol, a SAR80 carbine rifle, and other weapons.
"The suspects used violence to hijack the vessel, and took control of it, putting in fear the lives of those aboard," prosecutors said in the charge sheet.
Kenyan officials said 18 crew on board survived the ordeal.The nine suspects were held in custody at one of Kenya's maximum security prisons during the trial period. They all denied the accusations.
While handing out the sentence, the court noted that the accused had already served a long term in jail while the trial was in progress, and therefore were given shorter jail terms.
"I am satisfied with the evidence presented by the prosecution, which proves beyond reasonable doubt that an act of piracy was committed," judge Stephen Riech said. Riech ordered the nine to be deported to Somalia after serving their sentences.
Last month another nine Somalis were handed a similar sentence at the same court, after also being found guilty of hijacking a ship in the Gulf of Aden in 2010.

SOURCE:ALJAZEERA

Tuesday, July 30, 2013

Fuel discharge at Dar port improves


http://www.ippmedia.com/media/picture/large/augusta-july18-2013(1).jpg

The coming into use of the “Single Point Mooring” (SPM) for discharging fuel from ships has greatly enhanced efficiency at Dar es Salaam port, the Petroleum Importation Coordinator Ltd (PIC) General Manager Michael Mjinja said yesterday.

Briefing journalists on the status of the bulk oil procurement system, he said that the application of the new system in discharging fuel has helped to a great extent to reduce congestion at the port.

Before introduction of the system, between 7 and eight vessels were needed to deliver the monthly diesel supply, but under the new system which can handle bigger vessels, the number of tankers has been cut to only two and at most three, he said.

Mjinja said that a vessel carrying between 95,000 and 100,000 metric tonnes of the fuel takes four to five days to discharge through the SPM.

Commenting on tendering by the oil marketing companies he said competition was stiff, although there was no big difference in the transportation cost (premium).

He said PIC normally used the system of pre-qualification, and that this year 30 oil marketing companies have been pre qualified for importing petroleum products.

He said six companies have been participating in the tenders and that only Gapco Tanzania Limited was local.

The GM attributed the poor participation of local companies to lack of understanding of the new system of bulk procurement and financial capability.
He said for a company to import 350,000 metric tonnes of petroleum products, it needed to have USD 500 million.

“The foreign companies are used to this system; it is new to our local companies, but also needs huge capital outlay,’ he said.

He said that Augusta Energy SA and Gapco Tanzania Limited have been winning the tenders of importing fuel because they quoted low transport costs.

He said since January the premium cost has been decreasing from 71 USD per metric tonne and will in September be 37 USD per metric tonne.

This has had impact on demurrage costs which dropped from 10.44 USD per metric tonne in tender number 7 to 2.07 USD per metric tonne in tender number 10.
The drop however has not had a significant impact on pump prices because these were determined by the world oil market prices.
SOURCE: THE GUARDIAN

Persecuted Christians in Nigeria Need USA Help, Pastor Reaches out to Washington & Capitol Hill

Nigeria

This past week Pastor Ayo Oritsejafor, president of the Christian Association of Nigeria, met with lawmakers on Capitol Hill in Washington, D.C. calling for U.S. help in the growing violence and persecution of Christians in his home country of Nigeria. There are some 80 million Christian believers in Nigeria. In northern Nigeria there has been terrible suffering at the hands of militant terrorists in their country.
At first, the focus of attacks was upon the churches--killing Christian believers who professed faith in Jesus Christ and burning their buildings to the ground. Now, the terrorists have turned to the schools and are killing innocent children.
Pastor Oritsejafor said at theNational Press Club, "America has a strong history of civil rights and my hope is that our brothers here can awaken the conscience of humanity to stop this genocide."
According to estimates from the Associated Press, more than 800 Christians have lost their lives in the unchecked violence and persecution of Christian believers in Nigeria. The Islamic group, Boko Haram, has has taken credit for the violent bloodshed that has been spilled there. Boko Haram is a militant fringe group whose leader, Abubakar Shekau, will continue to promote violence and persecution throughout the region until all of Nigeria comes under Sharia law.
The sad and disappointing thing for many Nigerians is the lack of U.S. support for them during this crisis. With so much brutality and death taking place at the hands of these militant terrorists in their country, our State Department continues to refuse to designate Boko Haram as a foreign terrorist organization (FTO). Many groups here in the U.S.--including the Family Research Council and the American Center for Law and Justice--have appealed to Secretary John Kerry urging him and the State Department to list Boko Haram as an FTO. Great Britain has already taken this measure in their country.
Pastor Oritsejafor made this trip to Washington hoping to persuade our lawmakers for some financial assistance to help those who have suffered so greatly and experienced tremendous loss. The Nigerian government has promised some financial aid to help the suffering Christians, but little has been done so far.
Oritsejafor is hopeful that his visit will generate some humanitarian assistance for his country. Let's pray that the cries of the people in Nigeria will be heard here in America! The people need our prayers, our love, and our encouragement.
SOURCE:google News

Monday, July 29, 2013

Hali tete na tata ya kituo cha mabasi cha Ubungo (UBT)- Hatua ambazo nimeanza kuzichukua

AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG: Hali tete na tata ya kituo cha mabasi cha Ubungo (UBT)- Hatua ambazo nimeanza kuzichukua

WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA KAMPUNI YA BIA (TBL) MBEYA


Waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya wakitembelea kapuni ya Bia TBL
Moja ya watumishi wa kampuni hiyo ya Bia akiwaeleza waandishi wa habari jinsi bia inavyotengenezwa
Ziara inaendelea

 Meneja kiwanda cha kampuni ya Bia TBL  Mbeya Nicolaus  Kanyamala akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea kiwanda hicho
Baadhi ya wa watumishi wa kampuni ya Bia wakijitambulisha mbele ya waandishi wa habari

Meneja uhusiano wa TBL Dorris Malulu akizungumza na waandishi wa habari
Meneja masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) Kanda ya Mbeya, Raymond  Degera, akielezea mafanikio ya kampuni ya Bia

Mpishi Mkuu wa Bia wa Kampuni ya Tbl, Tito alisema Sheria za Tanzania zinatakiwa kusimamiwa ipasavyo kuhusu matumizi ya Vilevi kwa kuwashtaki wanaozidisha pombe na wengine wanaokunywa mida ya kazi na kuleta usumbufu kwa wengine.

Wanahabari walipata fursa ya kuelezwa sheria za unywaji wa Pombe na madhara yake, umri wa mtu kuanza kunywa pombe pamoja na madhara yake ambapo baada ya zoezi hilo walitembelea maeneo mbali mbali ya Kiwanda hicho.
Baada ya kutembelea kiwanda  sasa ilifika wakati wa kuonja Bia na kuitambua radha yake
Unaonja na kutaja ni bia gani kama ni NDOVU au KILIMANJARO kunaalama za rangi zimewekwa katika grass
Mwandishi wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango akionja na kujaza katika fomu kuwa hiyo aliyoinja ni Bia gani
 Meneja kiwanda cha kampuni ya Bia TBL  Mbeya Nicolaus  Kanyamala akimkabidhi zawadi Joseph mwaisango mara baada ya kuibuka mshindi wa uwonjaji bia
 Meneja kiwanda cha kampuni ya Bia TBL  Mbeya Nicolaus  Kanyamala akimkabidhi zawadi Emmanuel Madafa baada ya kushinda uonjaji wa Bia
Mshindi wa pili Joachim Nyambo akipokea zawadi yake toka kwa meneja wa kampuni ya bia 
Picha ya pamoja


ZAIDI ya Tani 60,000 za Shayiri  zinatarajiwa kuvunwa kutoka kwa Wakulima wa  Kanda ya Nyanda za Juu Kusini baada ya kupatiwa mafunzo juu ya kilimo cha mazao yenye tija na uwepo wa soko la uhakika.
Aidha zaidi ya Wakulima 400 kutoka Kanda hiyo ndiyo walionufaika na Kilimo hicho na kujihakikishia Soko la zao ambalo hutumika zaidi katika utengenezaji wa Vinywaji moto ambavyo ni Bia na uzalishaji mwingine kutokana na uwepo wa Viwanda vikubwa vya kuzalisha vinywaji hivyo.
Hayo yalibainishwa juzi na Meneja masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) Kanda ya Mbeya, Raymond  Degera,wakati wa Ziara ya Waandishi wa Habari katika Kiwanda cha Bia kilichopo Iyunga Jijini Mbeya.
Alisema  kutokana na uwepo wa Kiwanda cha Bia Mkoani Mbeya na kuhudumia Wananchi wa Kanda ya Nyanda za Juu kusini waliona si vema Malighafi zikatoka Nje ya Mikoa hiyo ili hali ardhi na hali ya Hewa inaruhusu kilimo cha mazao hayo na kuamua kutoa elimu namna ya kunufaika na Kilimo.
Degera alisema Kampuni  ilianzisha Programu ya kuwawezesha Wakulima kuhusu kilimo cha mazao yenye tija ambapo Wakulima wa Wilaya ya Mbozi, Sumbawanga na Iringa wanaofikia 400 ambao waliitikia na kuanza uzalishaji ambao baada ya mavuno kiwanda kitanunua moja kwa moja kutoka kwa wakulima ambao wanatarajia kuvuna Tani 60,000.
Kwa upande wake  Mpishi Mkuu wa Bia wa Kampuni ya Tbl, Tito alisema Sheria za Tanzania zinatakiwa kusimamiwa ipasavyo kuhusu matumizi ya Vilevi kwa kuwashtaki wanaozidisha pombe na wengine wanaokunywa mida ya kazi na kuleta usumbufu kwa wengine.
Alisema Utaratibu wa Nchi zingine  huwalazimisha wananchi wake kutumia Chupa mbili za Bia kwa siku na kwamba anayehitaji kuongeza zaidi ya hapo wauzaji huwakatalia, Sheria ambayo alishauri kutumika ili kuongeza uzalishaji na kuiondoa nchi katika majanga yanayotokana na ushawishi wa Pombe.
Aliongeza kuwa  kama wamiliki na watengenezaji wa Pombe wanahitaji wananchi wanywe kwa utaratibu ili waendelee kuwa wateja wao na  kusaidia kuchangia kodi kwa Taifa kutokana na Kampuni hiyo kuongoza kwa kuchangia kodi katika pato la Taifa.
Aidha katika Ziara hiyo Wanahabari walipata fursa ya kuelezwa sheria za unywaji wa Pombe na madhara yake, umri wa mtu kuanza kunywa pombe pamoja na madhara yake ambapo baada ya zoezi hilo walitembelea maeneo mbali mbali ya Kiwanda hicho.
Mbali na hilo wanahabari hao pia walishindanishwa kuonja Bia na kuzitambua kwa majina zoezi ambalo lilikuwa gumu kwa waandishi wengi huku Waandishi wanne wakiibuka washindi baada ya wawili kushika nafasi ya kuanza kwa kupata alama tatu kati ya Tano ambao ni Emmanuel Madafa na Joseph Mwaisango huku walioshika nafasi ya pili kwa kupata alama mbili kwa tano wakiwa ni Joachim Nyambo na Kenneth Ngelesi.

Chanzo:Mbeyayetu.blogspot.com