Thursday, October 3, 2013
Mashine za TRA zazua balaa.. Mbeya wagoma kuzinunua, vurugu zazuka.....!
Mabomu ya machozi yalipigwa ili kuzuia wafanyabiashara wasilete vurugu
Wafanyabiashara hao walichoma matairi ili kuwazuia polisi wasiweze kuwafikia
Na Kenneth NgelesiWAFANYABIASHARA mkoani Mbeya wamezua kizaazaa wakigoma kufungua maduka wakipinga agizo la Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) linalowataka kununua mashine za kielektroniki kwa ajili ya kukatia risiti za wateja pindi wanapowauzia bidhaa.
Katika sokomoko hilo lililotokea jana na kusababisha taharuki kwa muda kadhaa, wafanyabiashara hao wanadai kuwa gharama za mashine zitolewe na serikali.(P.T)
Sunday, September 29, 2013
ukosefu wa elimu wasababisha UJINGA, MARADHI NA UMASKINI
Watoto wengi katika nchi zinazoendelea wanakabiliwa na tatizo la ujinga, maradhi na umaskini hivyo basi kupatikana kwa elimu bora kutawasaidia kujikwamua na matatizo hayo pindi watakapomaliza masomo yao na kupata ajira na hivyo kujikwamua na hali ngumu ya maisha. (HM)
Dk Shein ampongeza Rais wa China
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amemtumia salamu za pongezi Rais wa China, Xi Jinping kwa kuadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa nchi hiyo.
Messi out for up to three weeks after thigh injury
Lionel Messi has been ruled out for two to three weeks after suffering a thigh injury in the Barcelona game against Almeria.
World Player of the Year Lionel Messi has been
ruled out for up to three weeks by a thigh injury he suffered in
Barcelona's 2-0 win over Almeria on Saturday.
The Argentine had put the Catalans in front with a sublime left-footed strike from 20 yards, but had to be replaced soon after and will now definitely miss Barca's Champions League trip to Celtic in midweek as well as Saturday's home game against Valladolid.
The Argentine had put the Catalans in front with a sublime left-footed strike from 20 yards, but had to be replaced soon after and will now definitely miss Barca's Champions League trip to Celtic in midweek as well as Saturday's home game against Valladolid.
Kenya's Wilson Kipsang sets world record to win Berlin Marathon
BERLIN -- Wilson Kipsang of Kenya did what he said he'd do on Sunday,
when he broke the world record in style to win the 40th Berlin Marathon.
After suggesting he was in the form to challenge compatriot Patrick Makau's 2011 time of 2 hours, 3 minutes, 38 seconds set in Berlin, the 31-year-old Kipsang beat the record by 15 seconds to set a new world best of 2:03:23.
"Looking at my marathon progress and career so far, I still think I have the potential to run faster. Anything under 2:03:23 would do," said Kipsang, who was just four seconds short of Makau's time in Frankfurt in 2011.
It was the eighth world record in Berlin in 15 years, strengthening its reputation as the world's fastest course.
After suggesting he was in the form to challenge compatriot Patrick Makau's 2011 time of 2 hours, 3 minutes, 38 seconds set in Berlin, the 31-year-old Kipsang beat the record by 15 seconds to set a new world best of 2:03:23.
"Looking at my marathon progress and career so far, I still think I have the potential to run faster. Anything under 2:03:23 would do," said Kipsang, who was just four seconds short of Makau's time in Frankfurt in 2011.
It was the eighth world record in Berlin in 15 years, strengthening its reputation as the world's fastest course.
The “White Widow” Samantha Lewthwaite and the Kenya mall attack
Samantha Lewthwaite, the youngest daughter of a British soldier, the shy, gawky schoolgirl who all teachers loved, is now the world’s most wanted woman after the attack on Nairobi’s Westgate Mall
last Saturday.
Nigeria militant attack on college dorm kills dozens
Suspected Islamic extremists attacked an agricultural college in the dead of night, gunning down dozens of students as they slept in dormitories and torching classrooms in an ongoing Islamic uprising in northeast Nigeria, the school's provost said.
JK: I'll order TPDF to fight poaching
Following
increased illegal poaching of elephants and rhinos in the country’s
national parks, President Jakaya Kikwete has announced he will
personally command the Tanzania People’s Defense Forces (TPDF) to help
fight the vice.
A Statement issued by the Directorate of Communications at State House
said in Dar es Salaam yesterday said that President Kikwete, who is
commnder-in-chief of the armed forces, announced his intended move
following rampant killings of the animals alongside wanton felling of
trees for charcoal.
The president made the announcement at UN headquarter in New York city on Thursday this week when he met fellow world leaders at a meeting convened to discuss wildlife poaching and illegal businesses in wood planks across the world.
A Statement issued by the Directorate of Communications at State House
said in Dar es Salaam yesterday said that President Kikwete, who is
commnder-in-chief of the armed forces, announced his intended move
following rampant killings of the animals alongside wanton felling of
trees for charcoal.The president made the announcement at UN headquarter in New York city on Thursday this week when he met fellow world leaders at a meeting convened to discuss wildlife poaching and illegal businesses in wood planks across the world.
Sunday, September 1, 2013
Kirstie Trup: Acid attack victim vows to return to Zanzibar, but is ‘frustrated’ at slow progress of case
One of the two young women who suffered horrific injuries in a seemingly unprovoked acid attack in Zanzibar has vowed to return to the area to continue her humanitarian work, but has expressed annoyance at the lack of progress in their case. Eighteen-year-olds Kirstie Trup and Katie Gee, both from London, were volunteering with disadvantaged children in the East African nation of Tanzania when the incident happened. They were walking through the Stone Town area of Zanzibar City after dining out when two smiling men on a moped threw acid on them as they whizzed past. Brave Trup has now said that she feels ‘very frustrated and upset that our attackers haven’t been caught,’ and fears that they never will be. Speaking to the Sunday Times, she questioned why, despite giving a detailed description of the event, her attackers have not be brought to justice in a community in which ‘everyone knows everyone.’ ‘Stone Town is too small for it to be this hard and I fear they will never be caught,’ she said.
Thursday, August 15, 2013
VURUGU MISRI: CAIRO KIMYA BAADA YA VIFO
Mji mkuu wa Misri Cairo umeripotiwa kuwa kimya, baada ya operesheni ya kinyama dhidi ya waandamanaji wanaomuunga mkono rais aliyepinduliwa Mohammed Morsi kupelekea vifo vya mamia ya raia. Mauaji hayo yamezua shutuma kutoka jamii ya kimataifa.
Zaidi ya watu 278 waliuwawa wakati maafisa wa usalama waliposhambulia kambi mbili za wafuasi wa Bwana Morsi. Kambi hizo zilianzishwa mwezi uliopita kupinga hatua ya jeshi kumng'oa rais huyo anayezingatia itikadi za kiislamu.
Hali ya hatari imetangazwa na amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kutolewa katika miji mikuu ya Misri.
Zaidi ya watu 278 waliuwawa wakati maafisa wa usalama waliposhambulia kambi mbili za wafuasi wa Bwana Morsi. Kambi hizo zilianzishwa mwezi uliopita kupinga hatua ya jeshi kumng'oa rais huyo anayezingatia itikadi za kiislamu.
Hali ya hatari imetangazwa na amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kutolewa katika miji mikuu ya Misri.
Nokia reportedly plans a 5.2in phablet and 10in Windows RT slate
FINNISH PHONE MAKER Nokia reportedly plans to launch a 5.2in phablet device and a 10in Windows RT tablet this year.
Chinese news website Dopsy managed to get its hands on a promotional picture of the device, tipped to launch as the Nokia Lumia 825, which unlike the big screen Lumia 625 will be a high-end device.
If this leak is the real deal, the Nokia Lumia 825 will have a quad-core 1.2GHz Qualcomm Snapdragon 400 processor along with a 5.2in display. Unfortunately, despite its size, this won't be the first HD 1080p Windows Phone device, with the handset instead featuring a 1280x720 resolution screen.
That's pretty much all we know about Nokia's upcoming Windows Phone 'phablet' device so far, with its announcement reportedly set for October.
Wednesday, August 14, 2013
RAIS AFUNGUA MKUTANO MKUU
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akifungua Mkutano wa mwaka wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa
Afrika Mashariki,(EAMJA) ulioanza leo katika Hoteli ya Zanzibar Beach
Resort nje ya Mji wa Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
M.M
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) pamoja na Majaji wa Nchi za Afrika Mashariki, wakisimama wakati wimbo wa Taifa wa Nchi hizo ukipigwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa mwaka kwa Nchi hizo,ambao utakchukua siku tatu katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Hotel,iliyopo nje ya Mji wa Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
Sunday, August 11, 2013
Dar blind primary school faces shortage of teaching materials
The
only pre-primary school for blind children at the Uhuru Mchanganyiko
primary school in Dar es Salaam faces shortage of classrooms, teaching
equipment and aids needed for the development of children.Speaking to this paper yesterday in Dar es Salaam Emeramu Mtega, a special education teacher at the school, said the unique pre-primary school in the country, with only eleven children from various regions has only one classroom.
It was supposed to have three classrooms according to the teaching system for the disabled.
Mtega explained that normally it is recommended that one classroom should accommodate only five children. Therefore, the children at Uhuru Mchanganyiko, need at least three classrooms. “A single teacher is supposed to teach only five children at a go,” he said.
Thursday, August 8, 2013
Tuesday, August 6, 2013
Baraza la jiji lamuomba radhi Mandela
Maafisa wakuu mjini Johannesburg, wamemuomba radhi Nelson Mandela kwa kumtumia kimakosa hati ya kudai malipo pamoja na onyo kuwa huenda akakatiwa huduma ya maji na stima kwa kuchelewa kulipia huduma hizo. (HM)
Walisema kuwa onyo hilo linalomtaka Mandela alipe dola 660 la sivyo akatiwe huduma hizo ilipaswa kutumwa kwa mtu mwingine wala sio Mandela.
Maafisa wa baraza la jiji wamekuwa wakipokea malalamiko mengi kutoka kwa wakaazi kuhusu hati za madai ya malipo ya huduma wanazopokea kutoka kwa baraza la jiji.
Mandela amekuwa hospitalini tangu tarehe 8 mwezi Juni akitibiwa homa ya mapafu.
"baraza la jiji lingependa kuomba radhi familia ya Mandela kwa kwa athari zozote zilizotokana na jambo hili,''
Notisi ya baraza la jiji ilitishia kukomesha huduma hizo na hata kuchukua hatua za kisheria ikiwa deni hilo la siku 30 halingelipwa.
Hata hivyo, msemaji wa baraza hilo Kgamanyane Maphologela alielezea kuwa anwani na nambari ya akaunti ya kulipia zilikuwa za mteja mwingine ambaye ni jirani wa Mandela.
Vile vile nambari ya barabara na jina la mteja zilikuwa sawa , ila mteja anaishi katika sehemu tofauti.
Bwana Maphologela alisema kuwa hatua zitachukuliwa dhidi ya wale waliofanya kosa hilo.
Familia ya Mandela, ambayo makaazi yake yako katika mtaa wa kifahari wa Houghton, daima hutembelewa na watu wenye nia ya kuiafriji familia ya Mandela, kumtakia afya njema rais huyo wa zamani.
Mwezi jana makao makuu ya chama cha kitaifa cha ANC, inasemekana kilipokea kimakosa hati za kudaiwa randi milioni 3.5.
Mandela ambaye ni rais wa kwanza wa Afrika Kusini kuchaguliwa kidemokrasia, anatazamiwa na wengi kama baba wa taifa.
Aidha Mandela alifungwa jela kwa miaka 27 baada ya kuanzisha harakati dhidi ya uliokuwa utawala wa kibaguzi. Chanzo: bbcswahili
Subscribe to:
Posts (Atom)














